2 Mambo ya Nyakati 34:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 “Yehova amesema hivi, ‘Tazama, ninaleta msiba+ juu ya mahali hapa na wakaaji wake,+ laana+ zote ambazo zimeandikwa katika kile kitabu walichosoma mbele ya mfalme wa Yuda,+ Yeremia 51:60 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 60 Na Yeremia akaandika katika kitabu+ kimoja msiba wote ambao ungekuja juu ya Babiloni, haya maneno yote yaliyoandikwa juu ya Babiloni.
24 “Yehova amesema hivi, ‘Tazama, ninaleta msiba+ juu ya mahali hapa na wakaaji wake,+ laana+ zote ambazo zimeandikwa katika kile kitabu walichosoma mbele ya mfalme wa Yuda,+
60 Na Yeremia akaandika katika kitabu+ kimoja msiba wote ambao ungekuja juu ya Babiloni, haya maneno yote yaliyoandikwa juu ya Babiloni.