Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 34:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa maana hutamsujudia mungu mwingine,+ kwa sababu Yehova, ambaye jina lake ni Wivu, yeye ni Mungu mwenye wivu;+

  • Zaburi 79:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Ee Yehova, utapandwa na hasira mpaka wakati gani? Milele?+

      Hasira yako itawaka kama moto mpaka wakati gani?+

  • Ezekieli 23:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Nami nitaonyesha ukali wangu juu yako,+ nao watakuchukulia hatua katika ghadhabu.+ Wataondoa pua yako na masikio yako, na sehemu yako inayobaki itaanguka kwa upanga. Wao wenyewe watawachukua wana wako na binti zako,+ na sehemu yako inayobaki itateketezwa kwa moto.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki