25 Nami nitaonyesha ukali wangu juu yako,+ nao watakuchukulia hatua katika ghadhabu.+ Wataondoa pua yako na masikio yako, na sehemu yako inayobaki itaanguka kwa upanga. Wao wenyewe watawachukua wana wako na binti zako,+ na sehemu yako inayobaki itateketezwa kwa moto.+