Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 15:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nami nimeukaza uso wangu juu yao.+ Wametoka motoni, lakini moto wenyewe utawateketeza.+ Nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova, nitakapouelekeza uso wangu juu yao.’ ”+

  • Ezekieli 20:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Nawe utauambia msitu wa kusini, ‘Sikia neno la Yehova. Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema: “Tazama, ninawasha moto juu yako,+ nao utateketeza ndani yako kila mti ambao ungali mbichi na kila mti uliokauka.+ Mwali huo wa moto unaowaka hautazimwa,+ na kwa huo nyuso zote zitateketezwa kutoka kusini mpaka kaskazini.+

  • Ufunuo 18:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Hiyo ndiyo sababu katika siku moja mapigo+ yake yatakuja, kifo na kuomboleza na njaa, naye atateketezwa kabisa kwa moto,+ kwa sababu Yehova Mungu, aliyemhukumu, ni mwenye nguvu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki