Kumbukumbu la Torati 32:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa maana moto umewashwa katika hasira yangu+Nao utateketeza mpaka katika Kaburi,* mahali pa chini zaidi,+Nao utateketeza dunia na mazao yake+Nao utawasha misingi ya milima.+ Yeremia 21:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mimi pia nitawatoza ninyi+ hesabu kulingana na matunda ya matendo yenu,’+ asema Yehova. ‘Nami nitawasha moto katika msitu wake,+ na hakika huo utateketeza vitu vyote vinavyomzunguka.’”+
22 Kwa maana moto umewashwa katika hasira yangu+Nao utateketeza mpaka katika Kaburi,* mahali pa chini zaidi,+Nao utateketeza dunia na mazao yake+Nao utawasha misingi ya milima.+
14 Mimi pia nitawatoza ninyi+ hesabu kulingana na matunda ya matendo yenu,’+ asema Yehova. ‘Nami nitawasha moto katika msitu wake,+ na hakika huo utateketeza vitu vyote vinavyomzunguka.’”+