Methali 1:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Basi watakula matunda ya njia yao,+ nao watashiba mashauri yao wenyewe.+ Isaya 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ole wake mtu mwovu!—Msiba; kwa maana matendo yaliyotendwa kwa mikono yake mwenyewe atalipwa yeye!+ Wagalatia 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Msipotoshwe:+ Mungu si wa kudhihakiwa.+ Kwa maana lolote lile analopanda mtu, atavuna hilo pia;+
11 Ole wake mtu mwovu!—Msiba; kwa maana matendo yaliyotendwa kwa mikono yake mwenyewe atalipwa yeye!+