19 Sikiliza, Ee dunia! Tazama, ninaleta msiba juu ya watu+ hawa kama matunda ya fikira zao,+ kwa maana hawakuyasikiliza maneno yangu; na sheria yangu—pia waliendelea kuikataa.”+
14 Mimi mwenyewe, Yehova, nimesema.+ Lazima ije,+ nami nitatenda. Sitapuuza,+ wala sitasikitika + wala kujuta.+ Kulingana na njia zako na kulingana na matendo yako hakika watakuhukumu,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”