Zaburi 21:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Utawafanya wawe kama tanuru yenye moto wakati wako uliowekwa wa kukaza uangalifu wako;+Yehova atawameza katika hasira yake, na moto utawateketeza.+ Yeremia 15:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nami nitawavusha wao pamoja na adui zako kuingia katika nchi ambayo wewe hukuijua.+ Kwa maana moto umewashwa katika hasira yangu.+ Umewashwa juu yenu.” Maombolezo 4:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yehova ametimiza ghadhabu yake.+ Amemwaga hasira yake inayowaka.+Naye anawasha moto katika Sayuni, unaoteketeza misingi yake.+
9 Utawafanya wawe kama tanuru yenye moto wakati wako uliowekwa wa kukaza uangalifu wako;+Yehova atawameza katika hasira yake, na moto utawateketeza.+
14 Nami nitawavusha wao pamoja na adui zako kuingia katika nchi ambayo wewe hukuijua.+ Kwa maana moto umewashwa katika hasira yangu.+ Umewashwa juu yenu.”
11 Yehova ametimiza ghadhabu yake.+ Amemwaga hasira yake inayowaka.+Naye anawasha moto katika Sayuni, unaoteketeza misingi yake.+