Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Nanyi mtaangamia katikati ya mataifa,+ nayo nchi ya adui zenu itawala ninyi.

  • Yeremia 16:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nami nitawatupa ninyi nje ya nchi+ hii mpaka ndani ya nchi ambayo hamkuijua ninyi,+ wala baba zenu, na humo mtaitumikia miungu mingine+ mchana na usiku, kwa sababu mimi sitawapa kibali chochote.”’

  • Yeremia 17:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nawe unafungua, kwa kupenda kwako mwenyewe, kutoka katika fungu la urithi wako ambalo nilikuwa nimekupa.+ Mimi pia nitakufanya uwatumikie adui zako katika nchi ambayo hukuijua;+ kwa maana ninyi mmewashwa kama moto katika hasira yangu.+ Utaendelea kuwashwa mpaka wakati usio na kipimo.”

  • Amosi 5:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Nami nitawafanya mwende uhamishoni ng’ambo ya Damasko,’+ yeye ambaye jina lake ni Yehova Mungu wa majeshi, amesema.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki