24 “Nao kwa kweli wataenda na kuitazama mizoga ya wale watu waliokuwa wakinikosea;+ kwa maana funza walio juu yao hawatakufa na moto wao hautazimwa,+ nao watakuwa chukizo kwa wanadamu wote.”+
12 Sepetu yake ya kupepetea imo mkononi mwake, naye atausafisha uwanja wake wa kupuria, na kukusanya ngano yake katika ghala+ lakini makapi atayateketeza kwa moto+ usioweza kuzimwa.”