Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 14:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kiburi chako kimeshushwa mpaka katika Kaburi,* kelele za vinanda vyako.+ Chini yako, funza wametandikwa kama kitanda; na wadudu ni kifuniko chako.’+

  • Isaya 34:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Haitazimwa wakati wa mchana wala wakati wa usiku; moshi wake utaendelea kupaa mpaka wakati usio na kipimo.+ Atakauka kutoka kizazi hata kizazi;+ milele na milele hakuna atakayevuka katikati yake.+

  • Mathayo 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Sepetu yake ya kupepetea imo mkononi mwake, naye atausafisha uwanja wake wa kupuria, na kukusanya ngano yake katika ghala+ lakini makapi atayateketeza kwa moto+ usioweza kuzimwa.”

  • Mathayo 25:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 “Ndipo naye atawaambia, wale walio kwenye mkono wake wa kushoto, ‘Tokeni kwangu mwende zenu,+ ninyi ambao mmelaaniwa, mkaingie katika moto wa milele+ aliotayarishiwa Ibilisi na malaika zake.+

  • Marko 9:48
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 mahali ambapo funza wake hafi na ule moto hauzimwi.+

  • 2 Wathesalonike 1:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Watu hao watahukumiwa adhabu+ ya uharibifu wa milele+ kutoka mbele ya Bwana na kutoka kwenye utukufu wa nguvu zake,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki