Isaya 13:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Hatakaliwa kamwe,+ wala hatakuwa na makao kwa kizazi baada ya kizazi.+ Na hapo Mwarabu hatapiga hema lake, na hakuna wachungaji watakaoruhusu makundi yao kulala hapo.
20 Hatakaliwa kamwe,+ wala hatakuwa na makao kwa kizazi baada ya kizazi.+ Na hapo Mwarabu hatapiga hema lake, na hakuna wachungaji watakaoruhusu makundi yao kulala hapo.