Ayubu 17:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nitalipaazia shimo+ sauti, ‘Wewe ni baba yangu!’Na kumwambia funza,+ ‘Wewe ni mama yangu na dada yangu!’ Ayubu 24:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Tumbo la uzazi litamsahau, funza atamnyonya kwa utamu,+Yeye hatakumbukwa tena.+Na ukosefu wa uadilifu utavunjwa kama mti.+
14 Nitalipaazia shimo+ sauti, ‘Wewe ni baba yangu!’Na kumwambia funza,+ ‘Wewe ni mama yangu na dada yangu!’
20 Tumbo la uzazi litamsahau, funza atamnyonya kwa utamu,+Yeye hatakumbukwa tena.+Na ukosefu wa uadilifu utavunjwa kama mti.+