Ayubu 24:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Tumbo la uzazi litamsahau, funza atamnyonya kwa utamu,+Yeye hatakumbukwa tena.+Na ukosefu wa uadilifu utavunjwa kama mti.+ Isaya 14:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kiburi chako kimeshushwa mpaka katika Kaburi,* kelele za vinanda vyako.+ Chini yako, funza wametandikwa kama kitanda; na wadudu ni kifuniko chako.’+ Marko 9:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 mahali ambapo funza wake hafi na ule moto hauzimwi.+
20 Tumbo la uzazi litamsahau, funza atamnyonya kwa utamu,+Yeye hatakumbukwa tena.+Na ukosefu wa uadilifu utavunjwa kama mti.+
11 Kiburi chako kimeshushwa mpaka katika Kaburi,* kelele za vinanda vyako.+ Chini yako, funza wametandikwa kama kitanda; na wadudu ni kifuniko chako.’+