Ayubu 17:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nitalipaazia shimo+ sauti, ‘Wewe ni baba yangu!’Na kumwambia funza,+ ‘Wewe ni mama yangu na dada yangu!’ Isaya 14:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kiburi chako kimeshushwa mpaka katika Kaburi,* kelele za vinanda vyako.+ Chini yako, funza wametandikwa kama kitanda; na wadudu ni kifuniko chako.’+
14 Nitalipaazia shimo+ sauti, ‘Wewe ni baba yangu!’Na kumwambia funza,+ ‘Wewe ni mama yangu na dada yangu!’
11 Kiburi chako kimeshushwa mpaka katika Kaburi,* kelele za vinanda vyako.+ Chini yako, funza wametandikwa kama kitanda; na wadudu ni kifuniko chako.’+