Zaburi 30:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ee Yehova, umeitoa nafsi yangu kutoka katika Kaburi;*+Umeendelea kuniweka nikiwa hai, ili nisipate kushuka ndani ya shimo.+ Zaburi 49:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Hivi kwamba yeye aendelee kuishi milele na asilione shimo.+ Zaburi 143:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ufanye haraka, unijibu, Ee Yehova.+Roho yangu imefikia mwisho.+Usiufiche uso wako mbali nami,+Kama sivyo nitakuwa kama wale wanaoshuka kuingia shimoni.+ Methali 1:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na tuwameze wakiwa hai+ kama Kaburi,*+ naam, wakiwa wazima, kama wale wanaoshuka shimoni.+ Isaya 14:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Hata hivyo, utashushwa chini mpaka katika Kaburi,*+ katika sehemu za mbali zaidi za shimo.+ Yona 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nilishuka mpaka sehemu za chini kabisa za milima.Nayo dunia, mapingo yake yalikuwa juu yangu mpaka wakati usio na kipimo.Lakini uliinua uhai wangu toka shimoni, Ee Yehova Mungu wangu.+
3 Ee Yehova, umeitoa nafsi yangu kutoka katika Kaburi;*+Umeendelea kuniweka nikiwa hai, ili nisipate kushuka ndani ya shimo.+
7 Ufanye haraka, unijibu, Ee Yehova.+Roho yangu imefikia mwisho.+Usiufiche uso wako mbali nami,+Kama sivyo nitakuwa kama wale wanaoshuka kuingia shimoni.+
6 Nilishuka mpaka sehemu za chini kabisa za milima.Nayo dunia, mapingo yake yalikuwa juu yangu mpaka wakati usio na kipimo.Lakini uliinua uhai wangu toka shimoni, Ee Yehova Mungu wangu.+