Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 30:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Ee Yehova, umeitoa nafsi yangu kutoka katika Kaburi;*+

      Umeendelea kuniweka nikiwa hai, ili nisipate kushuka ndani ya shimo.+

  • Zaburi 49:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Hivi kwamba yeye aendelee kuishi milele na asilione shimo.+

  • Zaburi 143:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Ufanye haraka, unijibu, Ee Yehova.+

      Roho yangu imefikia mwisho.+

      Usiufiche uso wako mbali nami,+

      Kama sivyo nitakuwa kama wale wanaoshuka kuingia shimoni.+

  • Methali 1:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na tuwameze wakiwa hai+ kama Kaburi,*+ naam, wakiwa wazima, kama wale wanaoshuka shimoni.+

  • Isaya 14:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Hata hivyo, utashushwa chini mpaka katika Kaburi,*+ katika sehemu za mbali zaidi za shimo.+

  • Yona 2:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Nilishuka mpaka sehemu za chini kabisa za milima.

      Nayo dunia, mapingo yake yalikuwa juu yangu mpaka wakati usio na kipimo.

      Lakini uliinua uhai wangu toka shimoni, Ee Yehova Mungu wangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki