Zaburi 28:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Mimi huendelea kukuita wewe, Ee Yehova.+Ee Mwamba wangu, usiwe kwangu kama kiziwi,+Ili usininyamazie+Nami nisilazimike kuwa kama wale wanaoshuka chini shimoni.+ Zaburi 88:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nimehesabiwa katikati ya wale wanaoshuka kuingia shimoni;+Nimekuwa kama mwanamume ambaye hana nguvu,+ Isaya 38:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana Kaburi* haliwezi kukusifu;+ kifo hakiwezi kukusifu.+Wale wanaoshuka shimoni hawawezi kuutumaini ukweli wako.+
28 Mimi huendelea kukuita wewe, Ee Yehova.+Ee Mwamba wangu, usiwe kwangu kama kiziwi,+Ili usininyamazie+Nami nisilazimike kuwa kama wale wanaoshuka chini shimoni.+
4 Nimehesabiwa katikati ya wale wanaoshuka kuingia shimoni;+Nimekuwa kama mwanamume ambaye hana nguvu,+ Isaya 38:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana Kaburi* haliwezi kukusifu;+ kifo hakiwezi kukusifu.+Wale wanaoshuka shimoni hawawezi kuutumaini ukweli wako.+
18 Kwa maana Kaburi* haliwezi kukusifu;+ kifo hakiwezi kukusifu.+Wale wanaoshuka shimoni hawawezi kuutumaini ukweli wako.+