Zaburi 30:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Damu yangu ina faida gani ninaposhuka katika shimo?+Je, mavumbi yatakusifu wewe?+ Je, yatasema juu ya ukweli wako?+ Zaburi 88:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Je, utawafanyia wale waliokufa jambo la ajabu?+Au je, wale wasiojiweza katika kifo watasimama,+Je, watakusifu wewe?+ Sela. Zaburi 146:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Roho yake hutoka,+ naye hurudi kwenye udongo wake;+Siku hiyo mawazo yake hupotea.+
9 Damu yangu ina faida gani ninaposhuka katika shimo?+Je, mavumbi yatakusifu wewe?+ Je, yatasema juu ya ukweli wako?+
10 Je, utawafanyia wale waliokufa jambo la ajabu?+Au je, wale wasiojiweza katika kifo watasimama,+Je, watakusifu wewe?+ Sela.