Zaburi 30:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Damu yangu ina faida gani ninaposhuka katika shimo?+Je, mavumbi yatakusifu wewe?+ Je, yatasema juu ya ukweli wako?+ Zaburi 115:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Wafu wenyewe hawamsifu Yah,+Wala wowote wanaoingia mahali penye kimya.+ Isaya 38:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana Kaburi* haliwezi kukusifu;+ kifo hakiwezi kukusifu.+Wale wanaoshuka shimoni hawawezi kuutumaini ukweli wako.+
9 Damu yangu ina faida gani ninaposhuka katika shimo?+Je, mavumbi yatakusifu wewe?+ Je, yatasema juu ya ukweli wako?+
18 Kwa maana Kaburi* haliwezi kukusifu;+ kifo hakiwezi kukusifu.+Wale wanaoshuka shimoni hawawezi kuutumaini ukweli wako.+