1 Samweli 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yeye hulinda miguu ya washikamanifu wake;+Lakini kwa habari ya waovu, wao wananyamazishwa katika giza,+Kwa maana si kwamba mwanadamu hushinda kwa ukuu wa nguvu.+ Zaburi 31:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ee Yehova, nisiaibike, kwa maana nimekuita wewe.+Waovu na waaibike;+Na wakae kimya katika Kaburi.*+
9 Yeye hulinda miguu ya washikamanifu wake;+Lakini kwa habari ya waovu, wao wananyamazishwa katika giza,+Kwa maana si kwamba mwanadamu hushinda kwa ukuu wa nguvu.+
17 Ee Yehova, nisiaibike, kwa maana nimekuita wewe.+Waovu na waaibike;+Na wakae kimya katika Kaburi.*+