Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Sikiliza,+ Ee Mungu wetu, kwa maana tumedharauliwa;+ na uzirudishe shutuma+ zao juu ya vichwa vyao wenyewe, nawe uwatoe waporwe katika nchi ya utekwani.

  • Nehemia 6:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na ikawa kwamba, mara tu adui zetu+ waliposikia jambo hilo na mataifa yote yaliyotuzunguka kuona jambo hilo, mara moja wakaona aibu sana machoni pao wenyewe, nao wakatambua kwamba kazi hii ilifanywa kutokana na msaada wa Mungu wetu.+

  • Zaburi 6:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Adui zangu wote wataona aibu+ sana na kuwa na wasiwasi;

      Watageuka, wataona aibu ghafula.+

  • Isaya 41:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Tazama! Wale wote wanaowaka hasira juu yako wataona aibu na kufedheheshwa.+ Watu wanaogombana nawe watakuwa si kitu na kuangamia.+

  • Yeremia 20:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Lakini Yehova alikuwa pamoja nami+ kama mwenye nguvu anayetisha.+ Ndiyo sababu wale wanaonitesa watajikwaa nao hawatashinda.+ Hakika watapatwa na aibu kabisa, kwa sababu hawatakuwa wamefanikiwa. Fedheha yao inayodumu mpaka wakati usio na kipimo haitasahauliwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki