8 Na hakika hawa watumishi wako wote watanijia na kusujudu mbele yangu,+ na kusema, ‘Nenda, wewe na watu wote wanaofuata hatua zako.’ Na baada ya hapo mimi nitaondoka.” Kisha akaondoka mbele ya Farao akiwaka hasira.
9 Tazama! Nitawatoa wale wa sinagogi la Shetani wanaosema ni Wayahudi,+ lakini sivyo walivyo bali wanasema uwongo+—tazama! nitawafanya waje na kusujudu+ mbele ya miguu yako na kuwafanya wajue kwamba nimekupenda wewe.