Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 11:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na hakika hawa watumishi wako wote watanijia na kusujudu mbele yangu,+ na kusema, ‘Nenda, wewe na watu wote wanaofuata hatua zako.’ Na baada ya hapo mimi nitaondoka.” Kisha akaondoka mbele ya Farao akiwaka hasira.

  • Zaburi 86:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Unitendee ishara inayomaanisha wema,

      Ili wale wanaonichukia wapate kuiona na kuaibika.+

      Kwa maana wewe mwenyewe, Ee Yehova, umenisaidia na kunifariji.+

  • Isaya 45:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 ukisema, ‘Hakika kuna uadilifu kamili na nguvu katika Yehova.+ Wale wote wanaomwakia hasira watakuja kwake moja kwa moja na kuona aibu.+

  • Ufunuo 3:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Tazama! Nitawatoa wale wa sinagogi la Shetani wanaosema ni Wayahudi,+ lakini sivyo walivyo bali wanasema uwongo+—tazama! nitawafanya waje na kusujudu+ mbele ya miguu yako na kuwafanya wajue kwamba nimekupenda wewe.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki