Zaburi 40:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Nilimtumainia Yehova kwa bidii,+Kwa hiyo akanitegea sikio lake na kusikia kilio changu cha kuomba msaada.+ Zaburi 71:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na uuongeze ukuu wangu,+Na unizingire na kunifariji.+
40 Nilimtumainia Yehova kwa bidii,+Kwa hiyo akanitegea sikio lake na kusikia kilio changu cha kuomba msaada.+