Yeremia 20:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Lakini Yehova alikuwa pamoja nami kama shujaa anayetisha.+ Ndiyo sababu wale wanaonitesa watajikwaa nao hawatashinda.+ Wataaibishwa sana, kwa maana hawatafanikiwa. Fedheha yao ya milele haitasahauliwa.+ Yeremia Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 20:11 w11 3/15 30; jr 36-37 Yeremia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 20:11 Mnara wa Mlinzi,3/15/2011, uku. 30 Yeremia, kur. 36-37
11 Lakini Yehova alikuwa pamoja nami kama shujaa anayetisha.+ Ndiyo sababu wale wanaonitesa watajikwaa nao hawatashinda.+ Wataaibishwa sana, kwa maana hawatafanikiwa. Fedheha yao ya milele haitasahauliwa.+