Yeremia 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Usiogope kwa sababu ya jinsi wanavyoonekana,+Kwa maana ‘mimi niko pamoja nawe ili nikuokoe,’+ asema Yehova.” Waroma 8:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+
8 Usiogope kwa sababu ya jinsi wanavyoonekana,+Kwa maana ‘mimi niko pamoja nawe ili nikuokoe,’+ asema Yehova.”
31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+