Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 3:11, 12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Hata hivyo, Musa akamwambia Mungu wa kweli: “Mimi ni nani hata niende kwa Farao na kuwatoa Waisraeli nchini Misri?” 12 Mungu akamwambia: “Nitathibitika kuwa pamoja nawe,+ na hii ndiyo ishara itakayoonyesha kwamba ni mimi niliyekutuma: Baada ya kuwatoa Waisraeli nchini Misri, ninyi mtanitumikia* mimi, Mungu wa kweli, kwenye mlima huu.”+

  • Yeremia 15:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Ninakufanya kuwa ukuta wa shaba wenye ngome kwa watu hawa.+

      Kwa hakika watapigana nawe,

      Lakini hawatakushinda,+

      Kwa maana mimi niko pamoja nawe, ili nikuokoe na kukukomboa,” asema Yehova.

  • Matendo 18:9, 10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Isitoshe, Bwana akamwambia Paulo katika maono usiku: “Usiogope, bali endelea kusema na usinyamaze, 10 kwa sababu niko pamoja nawe+ na hakuna mtu atakayekushambulia ili kukudhuru; kwa maana nina watu wengi katika jiji hili.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki