Yeremia 20:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Lakini Yehova alikuwa pamoja nami kama shujaa anayetisha.+ Ndiyo sababu wale wanaonitesa watajikwaa nao hawatashinda.+ Wataaibishwa sana, kwa maana hawatafanikiwa. Fedheha yao ya milele haitasahauliwa.+
11 Lakini Yehova alikuwa pamoja nami kama shujaa anayetisha.+ Ndiyo sababu wale wanaonitesa watajikwaa nao hawatashinda.+ Wataaibishwa sana, kwa maana hawatafanikiwa. Fedheha yao ya milele haitasahauliwa.+