Isaya 40:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Mbele zake mataifa yote ni kama kitu ambacho hakipo;+ kwake yeye yamehesabiwa kuwa si kitu na kuwa ni ubatili.+ Isaya 60:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana taifa lolote na ufalme wowote ambao hautakutumikia, utaangamia; nayo mataifa yataharibiwa bila shaka.+
17 Mbele zake mataifa yote ni kama kitu ambacho hakipo;+ kwake yeye yamehesabiwa kuwa si kitu na kuwa ni ubatili.+
12 Kwa maana taifa lolote na ufalme wowote ambao hautakutumikia, utaangamia; nayo mataifa yataharibiwa bila shaka.+