Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Mbusuni mwana,+ ili Yeye asikasirike

      Nanyi msiangamizwe kutoka njiani,+

      Kwa maana hasira yake huwaka kwa urahisi.+

      Wenye furaha ni wale wote wanaomkimbilia.+

  • Isaya 41:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Tazama! Wale wote wanaowaka hasira juu yako wataona aibu na kufedheheshwa.+ Watu wanaogombana nawe watakuwa si kitu na kuangamia.+

  • Danieli 2:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 “Na katika siku za wafalme hao,+ Mungu wa mbinguni+ atausimamisha ufalme+ ambao hautaharibiwa kamwe.+ Na ufalme huo hautapewa watu wengine wowote.+ Utazivunja na kuzikomesha falme hizi zote,+ nao utasimama mpaka wakati usio na kipimo;+

  • Luka 19:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Zaidi ya hayo, hao adui zangu ambao hawakutaka niwe mfalme juu yao waleteni hapa mkawaue mbele yangu.’ ”+

  • Ufunuo 2:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 naye atawachunga watu kwa fimbo ya chuma+ hivi kwamba watavunjwa vipande-vipande kama vyombo vya udongo,+ kama vile nilivyopokea kutoka kwa Baba yangu,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki