Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 39:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Tazama! Umezifanya siku zangu kuwa chache tu;+

      Na urefu wa maisha yangu si kitu mbele zako.+

      Kwa kweli kila mtu wa udongo, ingawa anasimama imara, si kitu ila pumzi tu.+ Sela.

  • Zaburi 62:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Kwa kweli wana wa mtu wa udongo ni pumzi,+

      Wana wa wanadamu ni uwongo.+

      Wanapowekwa juu ya mizani wote pamoja ni wepesi kuliko pumzi.+

  • Danieli 4:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Na wakaaji wote wa dunia wanaonwa kuwa si kitu,+ naye anafanya kulingana na mapenzi yake kati ya majeshi ya mbinguni na wakaaji wa dunia.+ Wala hakuna yeyote anayeweza kuzuia mkono wake+ au anayeweza kumuuliza, ‘Umekuwa ukifanya nini?’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki