Zaburi 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Adui zangu wote wataona aibu+ sana na kuwa na wasiwasi;Watageuka, wataona aibu ghafula.+ Zaburi 35:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Na waone aibu na kufedheheka wote pamoja+Wanaoshangilia msiba wangu.+Na wavikwe aibu+ na fedheha wale wanaojivuna sana dhidi yangu.+ Zaburi 40:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na waone aibu na kufedheheka wote pamoja+Wale wanaoitafuta nafsi yangu wapate kuifagilia mbali.+Wale wanaopendezwa na msiba wangu na wageuke na kufedheheshwa.+ Yeremia 23:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Nami nitatia juu yenu shutuma mpaka wakati usio na kipimo na fedheha mpaka wakati usio na kipimo, ambayo haitasahauliwa.”’”+
26 Na waone aibu na kufedheheka wote pamoja+Wanaoshangilia msiba wangu.+Na wavikwe aibu+ na fedheha wale wanaojivuna sana dhidi yangu.+
14 Na waone aibu na kufedheheka wote pamoja+Wale wanaoitafuta nafsi yangu wapate kuifagilia mbali.+Wale wanaopendezwa na msiba wangu na wageuke na kufedheheshwa.+
40 Nami nitatia juu yenu shutuma mpaka wakati usio na kipimo na fedheha mpaka wakati usio na kipimo, ambayo haitasahauliwa.”’”+