-
Yeremia 42:18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
18 “Kwa maana Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi, ‘Kama hasira yangu na ghadhabu yangu zilivyomwagwa juu ya wakaaji wa Yerusalemu,+ ndivyo ghadhabu yangu itakavyomwagwa juu yenu kwa sababu ya ninyi kuingia Misri, na hakika mtakuwa laana na kitu cha kushangaza na tukano na shutuma,+ nanyi hamtapaona mahali hapa tena.’+
-
-
Danieli 9:16Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
16 Ee Yehova, kulingana na matendo yako yote ya uadilifu,+ tafadhali, hasira yako na ghadhabu yako na zigeuke kutoka kwenye jiji lako Yerusalemu, mlima wako mtakatifu;+ kwa maana Yerusalemu na watu wako ni vitu vya kushutumiwa na watu wote wanaotuzunguka+ kwa sababu ya dhambi zetu na kwa sababu ya makosa ya mababu zetu.+
-