Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 9:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Naye mwenyewe ataihukumu kwa uadilifu nchi yenye kuzaa;+

      Atavihukumu vikundi vya mataifa kwa unyoofu.+

  • Zaburi 31:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Nimekukimbilia wewe, Ee Yehova.+

      Ee nisiaibike kamwe.+

      Niokoe katika uadilifu wako.+

  • Zaburi 89:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Uadilifu na hukumu ndizo mahali palipofanywa imara pa kiti chako cha ufalme;+

      Fadhili zenye upendo na ukweli zinaingia mbele za uso wako.+

  • Isaya 26:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nimekutamani wewe kwa nafsi yangu usiku;+ ndiyo, ninaendelea kukutafuta kwa roho yangu ndani yangu;+ kwa sababu, wakati kunapokuwa na hukumu kutoka kwako kwa ajili ya dunia,+ wakaaji wa nchi yenye kuzaa hakika watajifunza uadilifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki