Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Yeye Mwamba, kazi zake ni kamilifu,+

      Kwa maana njia zake zote ni haki.+

      Mungu wa uaminifu,+ ambaye hana ukosefu wowote wa haki;+

      Yeye ni mwadilifu na mnyoofu.+

  • Zaburi 5:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Kwa maana wewe si Mungu anayependezwa na uovu;+

      Hakuna mtu yeyote mbaya atakayekaa na wewe kwa muda wowote.+

  • Zaburi 71:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Uadilifu wako, Ee Mungu, unafika kileleni;+

      Na kuhusu mambo makuu ambayo umeyafanya,+

      Ee Mungu, ni nani aliye kama wewe?+

  • Zaburi 97:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Mawingu na giza zito vinamzunguka;+

      Uadilifu na hukumu ni mahali palipofanywa imara pa kiti chake cha ufalme.+

  • Zaburi 145:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Yehova ni mwadilifu katika njia zake zote+

      Na mshikamanifu katika kazi zake zote.+

  • Methali 16:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kufanya uovu ni chukizo kwa wafalme,+ kwa maana kiti cha ufalme hufanywa imara kwa uadilifu.+

  • Ufunuo 15:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nao wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwana-Kondoo,+ wakisema:

      “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki