Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 14:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Furaha ya mfalme imo katika mtumishi anayetenda kwa ufahamu,+ lakini ghadhabu yake humjia mtu anayetenda kwa aibu.+

  • Methali 20:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Mfalme mwenye hekima anawatawanya watu waovu,+ naye huzungusha gurudumu juu yao.+

  • Luka 12:48
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 Lakini yule ambaye hakuelewa+ na kwa hiyo akafanya mambo yanayostahili mapigo atapigwa machache.+ Kwa kweli, kila mtu ambaye alipewa mengi, atadaiwa+ mengi; na yule ambaye watu wamemweka asimamie mengi, watamdai mengi zaidi kutoka kwake kuliko ilivyo kawaida.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki