2 Samweli 4:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 mtu fulani aliponiletea habari,+ akisema, ‘Tazama, Sauli amekufa,’ naye machoni pake mwenyewe akawa kama mtu anayeleta habari njema, hata hivyo, mimi nilimkamata nikamuua+ katika Siklagi ingawa nilistahili kumpa ada ya mjumbe; Zaburi 101:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kila asubuhi nitawanyamazisha waovu wote wa dunia,+Kukatilia mbali kutoka katika jiji+ la Yehova wote wanaotenda mambo yenye kuumiza.+ Methali 20:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mfalme anaketi juu ya kiti cha hukumu,+ akitawanya ubaya wote kwa macho yake.+
10 mtu fulani aliponiletea habari,+ akisema, ‘Tazama, Sauli amekufa,’ naye machoni pake mwenyewe akawa kama mtu anayeleta habari njema, hata hivyo, mimi nilimkamata nikamuua+ katika Siklagi ingawa nilistahili kumpa ada ya mjumbe;
8 Kila asubuhi nitawanyamazisha waovu wote wa dunia,+Kukatilia mbali kutoka katika jiji+ la Yehova wote wanaotenda mambo yenye kuumiza.+