2 Na ikawa kwamba katika siku ya tatu, tazama! mtu+ fulani alikuwa anakuja kutoka katika kambi, kutoka kwa Sauli, mavazi yake yakiwa yameraruliwa+ na mavumbi yakiwa juu ya kichwa chake;+ na ikawa alipomjia Daudi, akaanguka chini+ mara moja na kulala kifudifudi.