Mwanzo 37:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Baadaye Rubeni akarudi kwenye lile shimo la maji na tazama Yosefu hakuwemo. Basi akayararua mavazi yake.+ Hesabu 14:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na Yoshua mwana wa Nuni+ na Kalebu mwana wa Yefune,+ ambao ni kati ya wale walioipeleleza nchi hiyo, wakayararua mavazi yao,+ Yoshua 7:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ndipo Yoshua akararua nguo zake za kujitanda, akaanguka kifudifudi+ mbele ya sanduku la Yehova mpaka jioni, yeye na wanaume wazee wa Israeli, nao wakawa wakitia mavumbi vichwani mwao.+
29 Baadaye Rubeni akarudi kwenye lile shimo la maji na tazama Yosefu hakuwemo. Basi akayararua mavazi yake.+
6 Na Yoshua mwana wa Nuni+ na Kalebu mwana wa Yefune,+ ambao ni kati ya wale walioipeleleza nchi hiyo, wakayararua mavazi yao,+
6 Ndipo Yoshua akararua nguo zake za kujitanda, akaanguka kifudifudi+ mbele ya sanduku la Yehova mpaka jioni, yeye na wanaume wazee wa Israeli, nao wakawa wakitia mavumbi vichwani mwao.+