Hesabu 13:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 wa kabila la Efraimu, Hoshea+ mwana wa Nuni; Hesabu 13:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Hayo ndiyo majina ya wanaume ambao Musa aliwatuma wakaipeleleze nchi. Na huyo Hoshea mwana wa Nuni, Musa akamwita Yehoshua.+
16 Hayo ndiyo majina ya wanaume ambao Musa aliwatuma wakaipeleleze nchi. Na huyo Hoshea mwana wa Nuni, Musa akamwita Yehoshua.+