Hesabu 11:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Ndipo Yoshua mwana wa Nuni, mhudumu+ wa Musa tangu ujana wake, akajibu na kusema: “Bwana wangu Musa, wazuie!”+ Hesabu 13:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Hayo ndiyo majina ya wanaume ambao Musa aliwatuma wakaipeleleze nchi. Na huyo Hoshea mwana wa Nuni, Musa akamwita Yehoshua.+ Hesabu 14:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Nanyi hamtaingia katika nchi ambayo niliinua mkono wangu katika kiapo+ ya kwamba nitakaa pamoja nanyi, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune na Yoshua mwana wa Nuni.+ Hesabu 34:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Haya ndiyo majina ya wanaume watakaowagawia ninyi nchi iwe miliki, Eleazari+ kuhani na Yoshua mwana wa Nuni.+
28 Ndipo Yoshua mwana wa Nuni, mhudumu+ wa Musa tangu ujana wake, akajibu na kusema: “Bwana wangu Musa, wazuie!”+
16 Hayo ndiyo majina ya wanaume ambao Musa aliwatuma wakaipeleleze nchi. Na huyo Hoshea mwana wa Nuni, Musa akamwita Yehoshua.+
30 Nanyi hamtaingia katika nchi ambayo niliinua mkono wangu katika kiapo+ ya kwamba nitakaa pamoja nanyi, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune na Yoshua mwana wa Nuni.+
17 “Haya ndiyo majina ya wanaume watakaowagawia ninyi nchi iwe miliki, Eleazari+ kuhani na Yoshua mwana wa Nuni.+