Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 17:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ndipo Musa akamwambia Yoshua:+ “Tuchagulie wanaume, nawe uende+ ukapigane na Waamaleki. Kesho nitasimama juu ya kilima, nikiwa na fimbo ya Mungu wa kweli mkononi mwangu.”+

  • Kutoka 24:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Basi Musa na Yoshua mhudumu wake wakasimama, naye Musa akapanda kwenda juu katika mlima wa Mungu wa kweli.+

  • Kutoka 33:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Naye Yehova akasema na Musa uso kwa uso,+ kama vile mwanadamu anavyosema na mwenzake. Aliporudi kambini, mhudumu wake+ Yoshua, mwana wa Nuni,+ akiwa mtumishi, hakuwa akiondoka katikati ya hema.

  • Hesabu 27:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa hiyo Yehova akamwambia Musa: “Jichukulie Yoshua mwana wa Nuni, mwanamume ambaye ndani yake mna roho,+ nawe utaweka mkono wako juu yake;+

  • Kumbukumbu la Torati 31:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Yehova Mungu wako ndiye anayevuka mbele yako.+ Yeye mwenyewe atayaangamiza mataifa haya kutoka mbele yako, na wewe lazima uyafukuzie mbali.+ Yoshua ndiye anayevuka mbele yako,+ kama alivyosema Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki