Hesabu 11:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Ndipo Yoshua mwana wa Nuni, mhudumu+ wa Musa tangu ujana wake, akajibu na kusema: “Bwana wangu Musa, wazuie!”+ Kumbukumbu la Torati 1:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Yoshua mwana wa Nuni, anayesimama mbele yako, ndiye atakayeingia humo.’+ Yeye amempa nguvu,+ kwa sababu atawafanya Israeli wairithi.) Yoshua 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Basi ikawa kwamba baada ya kifo cha Musa mtumishi wa Yehova, Yehova akamwambia Yoshua+ mwana wa Nuni, mhudumu+ wa Musa:
28 Ndipo Yoshua mwana wa Nuni, mhudumu+ wa Musa tangu ujana wake, akajibu na kusema: “Bwana wangu Musa, wazuie!”+
38 Yoshua mwana wa Nuni, anayesimama mbele yako, ndiye atakayeingia humo.’+ Yeye amempa nguvu,+ kwa sababu atawafanya Israeli wairithi.)
1 Basi ikawa kwamba baada ya kifo cha Musa mtumishi wa Yehova, Yehova akamwambia Yoshua+ mwana wa Nuni, mhudumu+ wa Musa: