Kumbukumbu la Torati 31:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Baada ya jambo hilo Yehova akamwambia Musa: “Tazama! Siku za kufa kwako zimekaribia.+ Mwite Yoshua, na usimame katika hema la mkutano, ili nimpe utume.”+ Basi Musa na Yoshua wakaenda na kusimama katika hema la mkutano.+
14 Baada ya jambo hilo Yehova akamwambia Musa: “Tazama! Siku za kufa kwako zimekaribia.+ Mwite Yoshua, na usimame katika hema la mkutano, ili nimpe utume.”+ Basi Musa na Yoshua wakaenda na kusimama katika hema la mkutano.+