Hesabu 27:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ukiisha kuiona, ndipo utakusanywa kwa watu wako,+ naam, wewe, kama vile Haruni ndugu yako alivyokusanywa,+ Kumbukumbu la Torati 31:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 na kuwaambia: “Leo mimi nina umri wa miaka 120.+ Sitaruhusiwa tena kutoka nje na kuingia ndani,+ kama vile Yehova alivyoniambia, ‘Wewe hutavuka mto huu wa Yordani.’+
13 Ukiisha kuiona, ndipo utakusanywa kwa watu wako,+ naam, wewe, kama vile Haruni ndugu yako alivyokusanywa,+
2 na kuwaambia: “Leo mimi nina umri wa miaka 120.+ Sitaruhusiwa tena kutoka nje na kuingia ndani,+ kama vile Yehova alivyoniambia, ‘Wewe hutavuka mto huu wa Yordani.’+