Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 20:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 “Haruni atakusanywa kwa watu wake,+ kwa maana hataingia katika nchi ambayo nitawapa wana wa Israeli, kwa sababu ninyi mliasi agizo langu kuhusiana na maji ya Meriba.+

  • Hesabu 20:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kisha Musa akamvua Haruni mavazi yake na kumvika Eleazari mwana wake mavazi hayo, kisha Haruni akafa huko juu ya mlima huo.+ Naye Musa na Eleazari wakashuka kutoka mlimani.

  • Hesabu 33:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Naye Haruni kuhani akapanda katika Mlima Hori kwa agizo la Yehova, akafa huko katika mwaka wa 40 tangu wana wa Israeli walipotoka katika nchi ya Misri, katika mwezi wa 5, siku ya kwanza ya mwezi huo.+

  • Kumbukumbu la Torati 10:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Nao wana wa Israeli wakaondoka Beerothi Bene-yaakani+ wakielekea Mosera. Huko Haruni akafa, naye akazikwa huko;+ na Eleazari mwana wake akawa kuhani badala yake.+

  • Kumbukumbu la Torati 32:50
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 50 Kisha ufe katika mlima utakaopanda, na kukusanywa kwa watu wako,+ kama vile Haruni ndugu yako alivyokufa katika Mlima Hori+ na kukusanywa kwa watu wake;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki