28 Kisha Musa akamvua Haruni mavazi yake na kumvika Eleazari mwana wake mavazi hayo, kisha Haruni akafa huko juu ya mlima huo.+ Naye Musa na Eleazari wakashuka kutoka mlimani.
38 Naye Haruni kuhani akapanda katika Mlima Hori kwa agizo la Yehova, akafa huko katika mwaka wa 40 tangu wana wa Israeli walipotoka katika nchi ya Misri, katika mwezi wa 5, siku ya kwanza ya mwezi huo.+