Hesabu 33:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Kisha kuhani Haruni akapanda juu ya Mlima Hori kwa agizo la Yehova, akafa huko siku ya kwanza ya mwezi wa tano, mwaka wa 40 tangu Waisraeli walipotoka nchini Misri.+ Hesabu Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 33:38 Tafsiri ya Ulimwengu Mpya, kur. 2012, 2116
38 Kisha kuhani Haruni akapanda juu ya Mlima Hori kwa agizo la Yehova, akafa huko siku ya kwanza ya mwezi wa tano, mwaka wa 40 tangu Waisraeli walipotoka nchini Misri.+