12 Baadaye Yehova akawaambia Musa na Haruni: “Kwa sababu hamkuonyesha imani kwangu ili kunitakasa+ mbele ya macho ya wana wa Israeli, kwa hiyo ninyi hamtaliingiza kutaniko hili katika nchi ambayo hakika nitawapa wao.”+
27 Panda juu ya Pisga,+ uinue macho yako kuelekea magharibi na kaskazini na kusini na mashariki, uone kwa macho yako, kwa maana wewe hutavuka huu mto Yordani.+
21 “Na Yehova akaniwakia hasira kwa sababu yenu,+ hivi kwamba akaapa kwamba sitavuka Yordani wala kuingia katika ile nchi nzuri ambayo Yehova Mungu wako anakupa iwe urithi wako.+