Kumbukumbu la Torati 31:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 na kuwaambia: “Leo mimi nina umri wa miaka 120.+ Sitaruhusiwa tena kutoka nje na kuingia ndani,+ kama vile Yehova alivyoniambia, ‘Wewe hutavuka mto huu wa Yordani.’+ Zaburi 106:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Tena, wakafanya uchokozi katika maji ya Meriba,+Hivi kwamba mambo yakamwendea Musa vibaya kwa sababu yao.+
2 na kuwaambia: “Leo mimi nina umri wa miaka 120.+ Sitaruhusiwa tena kutoka nje na kuingia ndani,+ kama vile Yehova alivyoniambia, ‘Wewe hutavuka mto huu wa Yordani.’+
32 Tena, wakafanya uchokozi katika maji ya Meriba,+Hivi kwamba mambo yakamwendea Musa vibaya kwa sababu yao.+