Hesabu 20:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Baadaye Yehova akawaambia Musa na Haruni: “Kwa sababu hamkuonyesha imani kwangu ili kunitakasa+ mbele ya macho ya wana wa Israeli, kwa hiyo ninyi hamtaliingiza kutaniko hili katika nchi ambayo hakika nitawapa wao.”+ Kumbukumbu la Torati 1:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 (Hata mimi Yehova alinikasirikia kwa sababu yenu, na kusema, ‘Wewe pia hutaingia humo.+
12 Baadaye Yehova akawaambia Musa na Haruni: “Kwa sababu hamkuonyesha imani kwangu ili kunitakasa+ mbele ya macho ya wana wa Israeli, kwa hiyo ninyi hamtaliingiza kutaniko hili katika nchi ambayo hakika nitawapa wao.”+