12 Baadaye Yehova akawaambia Musa na Haruni: “Kwa sababu hamkuonyesha imani kwangu ili kunitakasa+ mbele ya macho ya wana wa Israeli, kwa hiyo ninyi hamtaliingiza kutaniko hili katika nchi ambayo hakika nitawapa wao.”+
26 Na Yehova akaendelea kuwa na ghadhabu juu yangu kwa sababu yenu+ wala hakunisikiliza; lakini Yehova aliniambia, ‘Imetosha! Usiseme nami tena kamwe juu ya jambo hili.