Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 20:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Baadaye Yehova akawaambia Musa na Haruni: “Kwa sababu hamkuonyesha imani kwangu ili kunitakasa+ mbele ya macho ya wana wa Israeli, kwa hiyo ninyi hamtaliingiza kutaniko hili katika nchi ambayo hakika nitawapa wao.”+

  • Hesabu 27:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ukiisha kuiona, ndipo utakusanywa kwa watu wako,+ naam, wewe, kama vile Haruni ndugu yako alivyokusanywa,+

  • Kumbukumbu la Torati 3:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Na Yehova akaendelea kuwa na ghadhabu juu yangu kwa sababu yenu+ wala hakunisikiliza; lakini Yehova aliniambia, ‘Imetosha! Usiseme nami tena kamwe juu ya jambo hili.

  • Zaburi 106:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Tena, wakafanya uchokozi katika maji ya Meriba,+

      Hivi kwamba mambo yakamwendea Musa vibaya kwa sababu yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki